varency
Member
- Mar 24, 2022
- 15
- 20
Wapendwa kwa moyo mkunjufu naombeni mnisaidie kama kuna mtu ameshawahi kusumbuliwa na tatizo la macho halafu akapona naomba anisaidie jamani macho yangu yamepoteza nguvu ya kuona karibu na mbali hata TV kuangalia hadi nisogelee, simu nayo kuangalia napata tabu naweza kupishana na mtu nnayemjua lakini nisimtambue hadi anisogelee kabisa ndio nita mtambua.
Kiukweli napata tabu sana hali hii inanisumbua kwa mwaka wa 6 sasa nimeshazunguka hospopitali kubwa za macho Dar es Salaam nzima bila mafanikio kama kuna mtu alishawahi kuwa na tatizo kama hili sasa hivi amepona au ana ndugu au jamaa aliyekuwa na tatatizo kama hili lakini sasa hivi amepona tafadhali naomba ANISAIDIE.
Kiukweli napata tabu sana hali hii inanisumbua kwa mwaka wa 6 sasa nimeshazunguka hospopitali kubwa za macho Dar es Salaam nzima bila mafanikio kama kuna mtu alishawahi kuwa na tatizo kama hili sasa hivi amepona au ana ndugu au jamaa aliyekuwa na tatatizo kama hili lakini sasa hivi amepona tafadhali naomba ANISAIDIE.