varency
Member
- Mar 24, 2022
- 15
- 20
habari zenu wakuu natumaini wote wazima humu ndani.
ndugu yenu nimekuja kuomba msaada wa tiba au ushauli kwa yeyote mwenye uelewa wa tatizo langu maana najua humu kuna watalaamu wa mambo ya afya.
Mimi nasumbuliwa na tatizo la macho lililo nianza tangu mwaka 2017 la kupungukiwa na uwezo wa kuona macho yangu hayana uwezo wakuona mbali wala karibu hadi kitu nikisogeze kabisa kwenye macho ndo naona mtu akiwa hatua 10 mbele yangu nashindwa kumtambua kabisa hata kama na mjua hadi anikaribie ndo na mtambua siwezi kusoma maandishi wala kuangalia television au kutumia simu hadi nivisogelee kabisa yani ndo naona
nimesha zunguka hospitalia kubwa za macho daresalaam hii kama 10 hivi bila mafanikio nikienda napewa vidoge vya vitamini naambiwa nivitumie lakini kiukweli havini saidii chochote natumia vidonge vya vitamini karibia mwaka wa 3 sasa lakini sioni matumaini yoyote tafadhali wakuu kama kuna mtu kashawai kusumbuliwa na tatizo kama hili au kashawai kuwa na ndugu au rafiki aliye kuwa natatizo kama hili arafu sasa hivi amepona naomba anisaidie na mimi niweze kupona jamani
ndugu yenu nimekuja kuomba msaada wa tiba au ushauli kwa yeyote mwenye uelewa wa tatizo langu maana najua humu kuna watalaamu wa mambo ya afya.
Mimi nasumbuliwa na tatizo la macho lililo nianza tangu mwaka 2017 la kupungukiwa na uwezo wa kuona macho yangu hayana uwezo wakuona mbali wala karibu hadi kitu nikisogeze kabisa kwenye macho ndo naona mtu akiwa hatua 10 mbele yangu nashindwa kumtambua kabisa hata kama na mjua hadi anikaribie ndo na mtambua siwezi kusoma maandishi wala kuangalia television au kutumia simu hadi nivisogelee kabisa yani ndo naona
nimesha zunguka hospitalia kubwa za macho daresalaam hii kama 10 hivi bila mafanikio nikienda napewa vidoge vya vitamini naambiwa nivitumie lakini kiukweli havini saidii chochote natumia vidonge vya vitamini karibia mwaka wa 3 sasa lakini sioni matumaini yoyote tafadhali wakuu kama kuna mtu kashawai kusumbuliwa na tatizo kama hili au kashawai kuwa na ndugu au rafiki aliye kuwa natatizo kama hili arafu sasa hivi amepona naomba anisaidie na mimi niweze kupona jamani