Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 646
- 945
Wakuu nasumbuliwa na macho hasa jicho moja la upande wa kushoto..yan likianza kuwasha linawasha kweli kweli
Najitahid kujizuia kulifikicha ila nashindwa matokeo yake nayafikicha mpaka nahisi yanaweka vidonda..
Je tatizo hili nalitatuaje iwe kwa dawa za hospital au hata za kiasili maana hali hii inanikosesha raha.
Najitahid kujizuia kulifikicha ila nashindwa matokeo yake nayafikicha mpaka nahisi yanaweka vidonda..
Je tatizo hili nalitatuaje iwe kwa dawa za hospital au hata za kiasili maana hali hii inanikosesha raha.