nelly nely
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 665
- 229
Jamaa alikuwa ana matatizo ya macho,alipoenda hospital alipewa miwani iliyomfanya aone vitu viwili viwili.Siku 1 alienda baa na mkewe,...baada ya muda jamaa aliamka kwenda toilet.Aliporudi suruali yake ilikuwa imelowa sana kwa mbele!mkewe akasema kwa hasira "mme wangu unaniaibisha,kwa nini umejikojolea?",jamaa kwa upole akajibu,"wife,nilipofungua zipu na kuanza kukojoa niliona MBILI zikitoa mkojo,hivyo nikaamua kuirudisha moja ndani ya suruali!