Machizi bana

Machizi bana

sonashi

Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
44
Reaction score
10
Jamaa mmoja alipita pembeni ya ukuta wa jela ya machizi, ghafla akasikia wale machizi kwa ndani wakishangilia kwa kuhesabu '12....12....12....12'. Jamaa akatamani aone kinachoshangiliwa humo ndani akaona kuna tundu kwenye ukuta akachungulia ndani ghafla akatobolewa jicho wale machizi wakaendelea kushangilia kwa kuhesabu '13.....13....13....13'
 
Mh! Bora umenishitua maana muda si mrefu wangeanza kuimba 14...14 ...14
...14

Khaa! kumbe wewe ndiye uliyekuwa mbele yangu! ndiyo maana niliona ukipita pale ukutani bila kupiga chabo nikashangaa sana maana siyo kawaida yako!
 
Searching...100%
Loading...100%
4G Connected !

Near by Matema beach Mbeya.
 
humu ndani raha tupu...kuna maswali yakufurahisha na majibu ya kupendeza kabisa!!
 
mwezi uliopita nilikuwa natumia HTC Sensation na nilikuwa napata 4G bila matatizo. voda Arusha kunamaeneo unapata 4G.

mkuu hapa umenidanganya, kusema tanzania tuna 4G!! Hapana bhana, nijuavyo mimi htc wanasimu zenye uwezo wa 4G lakini kwa tanzania haiwezi kupata network ya 4G kwa sababu hata baadhi ya nchi za ulaya hawana network ya 4G, hivi unajua kuwa network ya 4G inatumia technology ya LTE ambayo ndo current kwenye masuala ya mitandao ya simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom