Machinga wa Dar kazini

This is bongo bwana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kama kina makamba wanawataka wamachinga watoe milioni 5 ili wapate nafasi machinga complex wewe unafkiri matokeo yake yangekua yepi???

Mtaji elfu 20, machinga complex million 5 !!!!!!

Halafu tnadai eti serikali inawajali raiya wake.!!
 
ikulu imegeuzwa machinga complex unategemea nini kwa walala hoi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…