Wakipata tatizo hapo walipo, utakua wa kwanza kuilamu serikali kwamba haikuchukua hatua.Pamoja na kutafuta riziki, lakini lazima riziki itafutwe kwa njia halali na utaratibu uliowekwa. Sasa kila mtu akijiamlia kufanya anavyojisikia eti kwa kisingizio cha kujitafutia riziki, Nchi itakalika kweli. Fikiria Chukua hatua.