Machimbo ya bidhaa za buchani

Machimbo ya bidhaa za buchani

Tumpara Dudu

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2016
Posts
660
Reaction score
599
Habari za mda huu wakuu? Kama kichwa Cha habari kilivyoeleza hapo juu. Naomba kujulishwa MACHIMBO ya jumla ya bidhaa za BUCHANI mfano samaki,nyama,kuku wa kienyeji na broiler na
 
Mmmmh hii mbona ngumu.... Ila naamini yapo sema ukitaja humu umewachoma

Machimbo ya kuku unamaanisha wale waliokufa wakatupwa au kuchinjwa kimagendo sio
 
Nyama nenda kiwalani kule vingunguti sokoni, samak feri, kuku nenda soko la Kisutu

Kuku nenda soko la shekilango unapata kitu OG unachinjiwa ukitaka kupikiwa unapikiwa pia kwa bei chee

Ukitaka ndizi nenda soko la ndizi pale Mabibo nyuma ya urafiki karibia na Chuo cha usafirishaji

Ukitaka unga na mchele na mazao yote ya nafaka nenda Tandale

Ukitaka nyama ya ngombe na mbuzi nenda Vingunguti

Ukitaka samaki fresh nenda Posta Ferry karibia na Ikulu

Nitarudi
 
kama upo Dar na unahitaji Samaki wa Jumla nicheki
079 531 536 9
 
Back
Top Bottom