Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Hivi huko mahali kuna watu wengi kiasi gani hapa Dar!?? Maana mida ya jioni daladala kibao zikiwa zimeacha ruti zao mitaa ya Buguruni huwa zinapiga debe kuelekea njia hizo, kulikoni huko wadau!? Mimi ni mkazi wa Gongolamboto lakini mida hiyo hata daladala zetu za huko zinatutosa. Inauma sana.