jino kwa jino
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 783
- 169
wanajf na watanzania kwa ujumla nawakumbusha kale ka mchezo wa madada zetu wanaojiuza, wanapaka dawa knye maziwa ukinyonya kidogo tu kwisha habari yako atakusasambua kila kitu hadi chupi wanabeba, utalala usingizi masaa manne hadi sita.
sasa kwa wale ambao wanapenda hiyo huduma tafadhali usinyonye maziwa wala kitovu cha changudoa au hawara kuokoa fedha na mali zako.
sasa kwa wale ambao wanapenda hiyo huduma tafadhali usinyonye maziwa wala kitovu cha changudoa au hawara kuokoa fedha na mali zako.