Wadau mlioko Dodoma hebu
tujuzeni, hivi haya ya kweli? Au soga tu za mjini kama ni kweli kumbe ndiyo
maana maisha ya wabunge yamepanda huko Dodona na hata wakaongezeana posho. Tujuzeni mlioko Dom
Wadau mlioko Dodoma hebu
tujuzeni, hivi haya ya kweli? Au soga tu za mjini kama ni kweli kumbe ndiyo
maana maisha ya wabunge yamepanda huko Dodona na hata wakaongezeana posho. Tujuzeni mlioko Dom
Kinachofanya maisha yapande dodoma sio nyama za mnadani wala kuku wa chako ni changu bali mabinti wanaofurika kutoka mikoani. Inataka moyo kuweza kuwakwepa.