Mwigulu alikuwa Arusha kwa Kazi Maalum ya Serikali ya Watu wa China. Hiyo Kofia aliyoivaa Mkoani Mbeya na Arusha ni Kofia ya Jeshi la China linaloitwa The Chinese Red Army.
Yuko kwenye kazi Maalum ya Jeshi la China. Mwigulu ndo huyu hapa:
View attachment 97862
Waliomtuma hawa hapa:
View attachment 97865
View attachment 97864
View attachment 97863View attachment 97866
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".
I stand to correct him, hivi Machali ajajua bado kuwa CCM ndo wahusika wakubwa wa mlipuko wa Arusha mbona CHADEMA katika uchaguzi huu mdogo hakuna walikotuhumiwa kujeruhi watu ? lakini ccm kila kona wamekamatwa wakifanya hivyo, na Mwigulu Nchema is the first suspect katika vifo vya hawa Watanzania wasiokuwa na hatia
Chadema ni cha kupigwa ban milele
I stand to correct him, hivi Machali ajajua bado kuwa CCM ndo wahusika wakubwa wa mlipuko wa Arusha mbona CHADEMA katika uchaguzi huu mdogo hakuna walikotuhumiwa kujeruhi watu ? lakini ccm kila kona wamekamatwa wakifanya hivyo, na Mwigulu Nchema is the first suspect katika vifo vya hawa Watanzania wasiokuwa na hatia
kinawanyima uhuru wa kuwakunja twiga.Chadema ni cha kupigwa ban milele
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".
My take;
Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.