Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".
My take;
Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.
My take;
Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.