MACHALI: CCM na CHADEMA vifutwe

Mtu mjinga anaweza kuropoka jambo lolote na watu tutakupuuza tu.
Sijajua Moses Machali amesema hayo akisimamia Facts zipi?

Mkutano ulikuwa wa CHADEMA na bomu limelipuliwa na risasi zilipigwa kuwalenga viongozi na wafuasi wa Chadema, waliokufa ni kiongozi na wafuasi wa CHADEMA, watu wote waliojeruhiwa walikuwa ni viongozi na wafuasi wa CHADEMA. Sasa mtu anakuja kuropoka eti huenda wahusika wa tukio hilo ni CHADEMA!!!

Uwendawazimu sio lazima uokote makopo, hata kuropoka uchafu ni uendawazimu tu.

Kama HATUMII POWDER kwa nini hajasema JESHI LA POLISI NA USALAMA WA TAIFA VIFUTWE KWA KUSHINDWA KULINDA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO?? Ni kwa sababu nina uhakika hao wote walikuwepo pale!!!
 
nimegundua ban nyingi hutokea ktk forum hii ya siasa, kuna watu wanapayuka sana

Machali atafutika wala sio chadema, ccm muda wake ukiisha watatoka, wewe machali utakuwa wapi wakati huo?
 
Mtu mjinga anaweza kuropoka jambo lolote na watu tutakupuuza tu.
Sijajua Moses Machali amesema hayo akisimamia Facts zipi?

Mkutano ulikuwa wa CHADEMA na bomu limelipuliwa na risasi zilipigwa kuwalenga viongozi na wafuasi wa Chadema, waliokufa ni kiongozi na wafuasi wa CHADEMA, watu wote waliojeruhiwa walikuwa ni viongozi na wafuasi wa CHADEMA. Sasa mtu anakuja kuropoka eti huenda wahusika wa tukio hilo ni CHADEMA!!!

Uwendawazimu sio lazima uokote makopo, hata kuropoka uchafu ni uendawazimu tu.

Hapa na mimi akili yangu ime stack kidogo...kauli ya huyu jamaa na ile ya yule aliyesema CDM wametorosha muhusika...Jamani viongozi wetu wanafikiri kwa kutumia nini au ndiyo yale aliyoyaema mh. Masaburi...?

How comes CDM wavamiwe na wao pia wawe suspects..?
Tumuombe Mungu awarudishie roho ya ubinaadamu waliopoteza viongozi wetu.....!!
 
Machali au Mkosamali kuna mtu kapost kuwa ni mkosamali! Anyway whoever he or she is he is representing the idea behind the Arusha bombing we are waiting for the follow up stories... CHADEMA imesajiliwa Mbinguni wa kuifuta Mungu ni mwenyewe!
 
Hapa na mimi akili yangu ime stack kidogo...kauli ya huyu jamaa na ile ya yule aliyesema CDM wametorosha muhusika...Jamani viongozi wetu wanafikiri kwa kutumia nini au ndiyo yale aliyoyaema mh. Masaburi...?

How comes CDM wavamiwe na wao pia wawe suspects..?
Tumuombe Mungu awarudishie roho ya ubinaadamu waliopoteza viongozi wetu.....!!

Machali anawakilosha wazo na nia thabiti ya waliohusika na mlipuko wa Arusha! Wanataka kuifuta CHADEMA! Shame on them all!
 
siwahi kupata ban, but wouldnt mind getting one now on your account...ingia facebook page ya Mwigulu, hayo aliambiwa mapemaaaa

[h=5]Shadymbuki Feleshi[/h]Saturday

CCM wakamatwa Tarime wakitoa rushwa, CCM wakamatwa Arusha wakitoa rushwa, CCM wakamatwa Rushoto wakihonga na kununua shahada za wapiga kura, CCM wakamatwa Monduli wakihonga na kununua shahada za wapiga kura..hii sio CCM nayoijua mimi ambaye nimiungoni mwa wanachama wake wazalendo..ole wenu Mwigulu Nchemba and Co..siku zenu zinahesabika na historia itawahukumu, damu ilomwagika Tanga usiku wa kuamkia leo na itakayomwagika siku si nyingi Arusha na kwingineko endapo hamtaacha siasa zenu za majitaka na iwe juu yenu. — with Hamisi Kigwangalla and Ben Wa Saanane.
 
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".

My take;

Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.

Ushabiki ni jambo zuri lakini linatakiwa kuwa na mipaka inayotokana na shabiki mwenyewe kujitambua!! Umemnukuu vema Machali ila mchango wako juu ya nukuu yake unadhalilisha uwezo wa kawaida kabisa wa mtu kuweza kufikiri na kuwasilisha fikira zake mbele za wengine!
 
We pimbi nenda ukaombe kazi ya kusafisha makalio ya wakazi wa MAGOGONI!! Huna jipya!!

Nabaki kumshangaa Machali.Hv ni mdogo mno kiumri kiasi kuwa hakumbuki tifu lililokuwapo kati ya CcM vs NCCR enzi zile chama chake kilipokuwa kina nguvu ya kiwango sawa ama zaidi kidogo ya kile walicho nacho CHADEMA kwa sasa? AKILI ya kawaida inaniambia Machali ana fikra kuwa CHADEMA kikipigwa mkasi <KUKMBUKA CcM kitabaki> NCCR wachukua nafasi ya CHADEMA, U're damnly wrong Moses my youngerbrother.

Suluhisho la vitimbi hv vya CcM ni nguvu ya pamoja ya vyama makini kuwaondoa CcM madarakani kimkakati.
Mungu ibariki TZA kwa kuasidia kuanguka kwa CcM9
 
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".

My take;

Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.

Tunahitaji kuaccess JF kwa sasa kuliko wakati mwingine. naona unataka kututengenezea ban bila kupenda kwetu. Ushindwe na ulegee
 
Hamy d mtoto wa Lumumba.,mashamsham kibao kwa bwanako Mwigu na CCM yake,husikii huambiwi,mumeo wa zamani nikikukanya kuwa hafai huyo bado unamuimba,unataka ushahidi gani tena hamy d wangu mamaa ili uamini mumeo gaidi?ama kweli mahaba mabaya!yaani hata siku ukisikia kamchapa mtu risasi utamsimanga marehemu kuwa gaidi kwa kuwa kamuudhi mumeo kwa kumwambia ukweli kuwa anatembea na bastola!watoto wa pwani tunasema penye mahaba hamna karaha ukitaka kashata toa gahawa!unapeenda gahawa za Mwijulu eeh?nijiondokee zangu mie na mwezi huu usiponipa ban wewe,sijui!
 
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".

My take;

Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.

We naona unatutafutia matatizo tu,kwa nin usilete habari tu na ukakomea hapo!
 
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".

My take;

Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.
mkuu chama cha kufutwa ni ccm! TENDWA afute hicho chama haraka ni janga!
 
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".

My take;

Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.

Wee shwain sana.iweje nyumba yako ilipuke moto alafu tena ukamatwe wewe?wakati kuna mtu amesema tena mchana italipuka?
 
CCM ni wazi watafurahi iwapo CHADEMA kitafutwa. Lakini kwa tukio la Bomu utasema makanisa yafutwe? Ni mwenye mawazo finyu tu anaweza kutoa hoja ya kufutwa CCM na Chadema kuwa ni suluhisho la yanayotokea Tanzania.

Nafikiri hawa wabunge we2 wanapaswa kufikiri kabla ya kuongea kwani inaonekana ni namna gani thinking capacity yao ilivyo ndogo na ndo maana wanapitisha baadhi ya sheria wakitoka nje ya ukumbi ndo wanaona makosa yake; kwa hili machali hatakiwi kulaumu direct CDM maana pale jukwaani walikuwepo viongozi wao wakuu kwa kauli yake walilenga kujiuwa wenyewe?ili iweje sasa. nafikiri kama mbunge ni vema akajaribu kutafuta chanzo kuliko kulopoka kama mwehu. anajishushia hadhi, what level of education has, there is a need to check his certificate. Be careful machali ulikuwa mzuri sasa unaharibu.
 
Nyambafu wewe! Utafutwa kwanza wewe!
Machali ameomba mwongozo bungeni kuwa, kama CCM ama CHADEMA vikibainika kuhusika na tukio la mlipuko Arusha basi msajili wa vyama vya siasa avifutilie mbali, akaendelea kusisitiza kuwa, "Tanzania ni bora kuliko CCM ama CHADEMA".

My take;

Machali amewastahi tu CHADEMA kwa kuwa hawapo bungeni, ila ukweli anao moyoni kuwa CHADEMA ni cha kufutwa haraka, kwani hawana weledi wa kufanya siasa za kistaarabu na siasa safi.
 
Back
Top Bottom