tz2015
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 982
- 444
Du! tutaona mengi mwaka huu,yaani kiongozi mkuu wa ACT akikukubali maana yake
unapita bila kupingwa? Vipi wapambanaji waliojipambanua mapema kwamba wao ni
act bila kujali aibu wala kashfa kutoka kwa washirika wao wa zamani, na nafasi zao walizoacha kwenye vyama vyao
sasa unafika wakati wa kuingia mjengoni,wanaletwa mamluki moja kwa moja kugombea vyeo.
Hao walioogopa kumwaga unga wao wanaingizwa na walioacha unga wao mapema wanaachwa.
Kweli hii ni ACT(maigizo).
unapita bila kupingwa? Vipi wapambanaji waliojipambanua mapema kwamba wao ni
act bila kujali aibu wala kashfa kutoka kwa washirika wao wa zamani, na nafasi zao walizoacha kwenye vyama vyao
sasa unafika wakati wa kuingia mjengoni,wanaletwa mamluki moja kwa moja kugombea vyeo.
Hao walioogopa kumwaga unga wao wanaingizwa na walioacha unga wao mapema wanaachwa.
Kweli hii ni ACT(maigizo).