Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba29 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti

Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba29 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti, baada ya mrindimo wa bunduki kunyamaza ghafla. Sasa, ushahidi mpya unafichua kile ambacho hakikusimuliwa – vifo vya watu ambao idadi yao bado haijulikani, miili iliyotoweka, na tuhuma za ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaodaiwa kufanywa na vyombo vya usalama. Kurunzi ya DW inamulika kilichotokea Mwanza, jiji la pili kwa ukubwa nchini Tanzania, na inakuja na undani ambao haujawahi kuwekwa hadharani. chanzo. DW Kiswahili
16.01.2026


 
Back
Top Bottom