Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Jana nilisikia kupitia mtandao wa IPP na hapa JF kwamba kumekuwa na machafuko ya kidini huko Arusha. Nilitegemea kuwa leo ningepata habari zaidi kuhusu jambo hilo na kusikia kuwa viongozi mbali mbali wa kidini na serikali, pamoja na vyobo vya usalama, wamesema kitu gani kuhusu jambo hilo. Nimepitia mitandao mbalimbali ya magazeti, sijasikia tamko lolote.
Jambo hilo linatakiwa kuzungumzwa ili kutafuta chanzo cha machafuko hayo, na namna ya kuzuia na kukabili matatizo hayo ili yasitokee tema. Tukiyanyamazia, yatatufikisha pabaya. Wahenga walisema, 'mficha ugonjwa, kifo kitamuumbua'!
Jambo hilo linatakiwa kuzungumzwa ili kutafuta chanzo cha machafuko hayo, na namna ya kuzuia na kukabili matatizo hayo ili yasitokee tema. Tukiyanyamazia, yatatufikisha pabaya. Wahenga walisema, 'mficha ugonjwa, kifo kitamuumbua'!