Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,411
- 829,745
1.Usiende moja kwa moja nyumbani unapotoka makaburini.. Simama kidogo mahali zuga kwa muda kidogo then nenda kwako
2. Usiweke alama ya KARIBU nyumbani kwako si kila mtu ni wa kukaribisha na hapo sio eneo la biashara
3. Usilale na kioo kinakutazama.. Ukiwa usingizini utaonwa na wengi
4. Usipige mluzi baada ya saa 12 jioni..kuna mtu atakujibu
5. Usiitikie hodi ya kwanza si kila apigaye hodi ni binadamu.. !
Niwatakie Ijumaa kuu yenye baraka na fanaka tele.
Ijumaa khareem kwa wengine pia!
2. Usiweke alama ya KARIBU nyumbani kwako si kila mtu ni wa kukaribisha na hapo sio eneo la biashara
3. Usilale na kioo kinakutazama.. Ukiwa usingizini utaonwa na wengi
4. Usipige mluzi baada ya saa 12 jioni..kuna mtu atakujibu
5. Usiitikie hodi ya kwanza si kila apigaye hodi ni binadamu.. !
Niwatakie Ijumaa kuu yenye baraka na fanaka tele.
Ijumaa khareem kwa wengine pia!