Machache usiyoyajua kuhusu Zanzibar.

Machache usiyoyajua kuhusu Zanzibar.

Siri ya sifuri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,615
Reaction score
2,264
Salaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
 
Salaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
Sawasawa..
 
Salaam wakulungwa...
Zanzibar hakuna bunge-kuna baraza la wawakilishi.
Zanzibar hakuna soko-kuna markit.
Zanzibar hakuna shule-kuna skuli.
Zanzibar hakuna kijiji-kuna shamba.
Zanzibar hakuna bomba(lakutoa maji)-kuna mfereji.
Zanzibar hakuna m'bunge-kuna muwakilishi.
Zanzibar hakuna balozi-kuna sheha.
Zanzibar hakuna daftari-kuna buku.
Zanzibar hakuna rula-kuna mstari.
Zanzibar hakuna kalamu-kuna pen/pensel.
Zanzibar hakuna machinga-kuna juakali.
Zanzibar hakuna video ya ngono-kuna kibuluu.
Zanzibar hakuna ice cream-kuna lai.
Kwa kuzingatia hayo machache unaweza kupata urahisi wakuwasiliana na wenyeji wa nchi ya Zanzibar. Karibuni kwa nyongeza.
Hakuna Big G kuna ubani, hakuna nyama kuku wa kisasa kuna peduu, kwenye daladala hakuna kushusha kuna kuweka, hakuna kukata kona kuna kupinda, hakuna mzunguko kuna duara,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom