Machache niliyogundua kuhusu wanawake kwenye mahusiano

10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako
 
Katika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa

1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na kuheshimu viongozi wa dini, hao ndio ma bwana zake wa kwanza wewe ni wapili

2: Usimpende mwanamke wewe mjali alafu jukumu la kupenda awe nalo yeye

3: Usitake kuishi na mwanamke mwache yeye ndiye atake kuishi na wewe

4: Usishinde nyumbani na mwanamke hata kama siku hiyo huendi kazini

5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya

6:Usimuamini mwanamke hata kidogo huyo ni adui yako muda wowote ana kulipua na ana kuua kabisa indirect ikibidi

7: Usiamini mimba aliyobeba mwanamke hata kama unahisi ni yako

8: Usimtendee mwanamke wema wala usimgaramikie kwa lengo la kua nae, usimuonee huruma mwanamke, wala usisikilize sauti za kilio chake na kuyathamini machozi yake

9: Mwanamke akiwa ndani kwako huyo ni wako , akitoka nje jua kabisa ni wa wenzako subiri atarudi mwenyewe asipo rudi tafuta mwingine

10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako

11: Usimpigie mwanamke magoti unapo mvisha pete ya aina yeyote kamwe usimsujudie mwanamke, kama anataka kuolewa atapiga goti yeye hataki achama nae

12: Mwanamke anayejipost mitandaoni mara kwa mara huyo siyo wako achana nae

13: Usifungamane na mwanamke mwenye imani kali huyo kukuchinja hashindwi hana tofauti na Magaidi wa IS

14: Usifungamane na mwanamke ambaye hakusikilizi wala hakuagi anapoenda

15: Epuka kuwa na mwanamke msiri kwako ikibidi kimbia kabisa

16: Ili udumu na mwanamke ni lazima umpuuze kabisa kabisa, weka pamba masikioni na zuia kinywa chako kuwa chepesi kuongea na mikono yako kumpiga

17: Usiishi / kuoa mwanamke ambaye bado anawaza kusaidia kwao na muda mwingi ana wasikiliza ndugu zake

18: Usioe wala kudate na mwanamke ambaye yupo karibu sana na mama yake, hata kama baba yake alikufa/ waliachana


* Ili uishi na mwanamke kwa amani ndani ya ndoa/uchumba sugu lazima ujue hakuna tofauti na kuishi na kichaa ndani*
Mwanamke anaweza vumilia umaskini wa babake ,ila sio umaskini wa mume wake

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Katika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa

1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na kuheshimu viongozi wa dini, hao ndio ma bwana zake wa kwanza wewe ni wapili

2: Usimpende mwanamke wewe mjali alafu jukumu la kupenda awe nalo yeye

3: Usitake kuishi na mwanamke mwache yeye ndiye atake kuishi na wewe

4: Usishinde nyumbani na mwanamke hata kama siku hiyo huendi kazini

5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya

6:Usimuamini mwanamke hata kidogo huyo ni adui yako muda wowote ana kulipua na ana kuua kabisa indirect ikibidi

7: Usiamini mimba aliyobeba mwanamke hata kama unahisi ni yako

8: Usimtendee mwanamke wema wala usimgaramikie kwa lengo la kua nae, usimuonee huruma mwanamke, wala usisikilize sauti za kilio chake na kuyathamini machozi yake

9: Mwanamke akiwa ndani kwako huyo ni wako , akitoka nje jua kabisa ni wa wenzako subiri atarudi mwenyewe asipo rudi tafuta mwingine

10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako

11: Usimpigie mwanamke magoti unapo mvisha pete ya aina yeyote kamwe usimsujudie mwanamke, kama anataka kuolewa atapiga goti yeye hataki achama nae

12: Mwanamke anayejipost mitandaoni mara kwa mara huyo siyo wako achana nae

13: Usifungamane na mwanamke mwenye imani kali huyo kukuchinja hashindwi hana tofauti na Magaidi wa IS

14: Usifungamane na mwanamke ambaye hakusikilizi wala hakuagi anapoenda

15: Epuka kuwa na mwanamke msiri kwako ikibidi kimbia kabisa

16: Ili udumu na mwanamke ni lazima umpuuze kabisa kabisa, weka pamba masikioni na zuia kinywa chako kuwa chepesi kuongea na mikono yako kumpiga

17: Usiishi / kuoa mwanamke ambaye bado anawaza kusaidia kwao na muda mwingi ana wasikiliza ndugu zake

18: Usioe wala kudate na mwanamke ambaye yupo karibu sana na mama yake, hata kama baba yake alikufa/ waliachana


* Ili uishi na mwanamke kwa amani ndani ya ndoa/uchumba sugu lazima ujue hakuna tofauti na kuishi na kichaa ndani*
16.ushauri huu niliusikia kwa babu...
 
Mkuu tushauri basi na sisi wanawake kuhusu wanaume

Au unadhani wanaume wamenyooka kama malaika.
Ukimfumania mwanaume ata kama umemwona kwa macho yako, akipinga ajafanya kitu wewe amini tu , ikishindikana kabisa amini ulikua unaota na hakuna kitu.
 
Katika harakati zangu za ubaharia , uvushaji, uchakataji na hata kuwanafikia hawa viumbe na muda mwingine kudate nao nimegundua mambo kadhaa

1: Usidate wala kufungamana na mwanamke anaye amini na kuheshimu viongozi wa dini, hao ndio ma bwana zake wa kwanza wewe ni wapili

2: Usimpende mwanamke wewe mjali alafu jukumu la kupenda awe nalo yeye

3: Usitake kuishi na mwanamke mwache yeye ndiye atake kuishi na wewe

4: Usishinde nyumbani na mwanamke hata kama siku hiyo huendi kazini

5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya

6:Usimuamini mwanamke hata kidogo huyo ni adui yako muda wowote ana kulipua na ana kuua kabisa indirect ikibidi

7: Usiamini mimba aliyobeba mwanamke hata kama unahisi ni yako

8: Usimtendee mwanamke wema wala usimgaramikie kwa lengo la kua nae, usimuonee huruma mwanamke, wala usisikilize sauti za kilio chake na kuyathamini machozi yake

9: Mwanamke akiwa ndani kwako huyo ni wako , akitoka nje jua kabisa ni wa wenzako subiri atarudi mwenyewe asipo rudi tafuta mwingine

10: Mwanamke akikutishia tuachane akakusanya virago vyake na kwenda kwao , kamwe usimbeleze na wala usimtake abaki. Mwache aende na akimaliza mwezi mmoja kwao achana nae kabisa huyo siyo wako

11: Usimpigie mwanamke magoti unapo mvisha pete ya aina yeyote kamwe usimsujudie mwanamke, kama anataka kuolewa atapiga goti yeye hataki achama nae

12: Mwanamke anayejipost mitandaoni mara kwa mara huyo siyo wako achana nae

13: Usifungamane na mwanamke mwenye imani kali huyo kukuchinja hashindwi hana tofauti na Magaidi wa IS

14: Usifungamane na mwanamke ambaye hakusikilizi wala hakuagi anapoenda

15: Epuka kuwa na mwanamke msiri kwako ikibidi kimbia kabisa

16: Ili udumu na mwanamke ni lazima umpuuze kabisa kabisa, weka pamba masikioni na zuia kinywa chako kuwa chepesi kuongea na mikono yako kumpiga

17: Usiishi / kuoa mwanamke ambaye bado anawaza kusaidia kwao na muda mwingi ana wasikiliza ndugu zake

18: Usioe wala kudate na mwanamke ambaye yupo karibu sana na mama yake, hata kama baba yake alikufa/ waliachana


* Ili uishi na mwanamke kwa amani ndani ya ndoa/uchumba sugu lazima ujue hakuna tofauti na kuishi na kichaa ndani*
Na iwe hivyo kwa wanao, binti zako, dada zako, mama aliyekuzaa, shangazi, bibi zako wote. Imeenda.
 
5: Usimwambie mwanamke huna hela, kama hela huna wewe mchenge tuu kadiri ujuavyo, ni mara mia ajue unazo hutaki kumpa kuliko ajue hauna ndugu yangu hapo utabakiwa na manyoya" Ufafanuzi tafadhali Mwanafalsafa wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom