Sio poa. Mi sio mchaga lakini nakuwa advocate wao kwa hili.
Wachaga ni watu wazuri.
Wanashinikizana kutafuta maendeleo,mapungufu ya kibinadamu kama wengine wanayo, lakini ni "most modern and civilized tribe in Tanzania".Tuzo hii wameibeba muda mrefu.
La wanawake wa kichaga: wanawake wa kichaga wengi ni warembo na wanavutia. Suala la chumbani ni la mmoja mmoja na juhudi zake binafsi.
Namalizia: Tuwaige wachaga katika mema yao, mapungufu ya wengi wanaowasimanga yanazidi ya wachaga mbali sana.
NB: Nimezunguka vijijini(rural areas) kiasi chake bara na visiwani nimejionea...