The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Hatoweza...au atadonoa donoa tu alafu wali maharage ukiliwa na mwingine mtu anaanza kunung‘unika.
sio kweli
wengine we have a larger appetite..
a bigger one lol
Hatoweza...au atadonoa donoa tu alafu wali maharage ukiliwa na mwingine mtu anaanza kunung‘unika.
mamkwe unajua ukiwa umekula ukashiba ukiona chakula hutamani kabisa hata kukishika
nikifika nitasubiri chips kuku ipite kwanza
halafu wali wangu na maharage pale pale....naula vizuuri
hakuna nyama inayojipika, nyama lazima ipikwe na mtu. Kama nyama yako ya ng'ombe mzee weka tangawizi kulainisha, kama imekaa sana kwenye friji weka japo vitunguu swaumu kuipa taste nzuri. Viungo muhimu kwenye mapishi ya nyama ila vikizidi utamu wa nyama unapotea. Sio nyama umeitoa buchani hata kuiosha hujaiosha ushaibandika jioni.Ladha ya nyama ya kuku, ngo'mbe, mbuzi ni tofauti. Ukipenda kuku tafuta kuku.Kwahiyo mpishi mzuri anaweza akafanya nyama ya mbuzi ikawa tamu kama ya kiti moto au ya kuku....?Alafu labda nyama nyingine zinajipika zenyewe haziitaji preparation ya nguvu au...?, yaani ukimwaga viongo vyako ukachemsha tayari ushapenda....?
Wenyewe wanadanganya eti na kula watakula.
magu kama hujanielewa ...sijasema nyama za wanyama wote zinafanana ila kama mnyama ni yule yule hamna jipya.wanyama wa porini baadhi wanajulikana kwa utamu waa sio uongo.
Asante Hus....wengine eti wanataka kwenye ngombe wapat ladha ya kondoo.hakuna nyama inayojipika, nyama lazima ipikwe na mtu. Kama nyama yako ya ng'ombe mzee weka tangawizi kulainisha, kama imekaa sana kwenye friji weka japo vitunguu swaumu kuipa taste nzuri. Viungo muhimu kwenye mapishi ya nyama ila vikizidi utamu wa nyama unapotea. Sio nyama umeitoa buchani hata kuiosha hujaiosha ushaibandika jioni.Ladha ya nyama ya kuku, ngo'mbe, mbuzi ni tofauti. Ukipenda kuku tafuta kuku.
Sasa wewe kama mhusika mkuu kwenye swala zima la kupika na kuandaa mbona yote uliyosema yapo ndani ya uwezo wako kurekebisha?! Ni kiasi tu cha kuiserve nyama kwenye sahani inayovutia...juu ya meza safi na ndani ya sebule safi.
Ladha mbaya inatokana na mapishi mabaya hivyo jilaumu wewe mpishi.
appetite zinazoongozwa na lil blue pills... Ndo maana mnazeeka haraka alafu mnakimbiwa.
we tuombe radhi..
Lil blue pills ni kwa wazee tu..
Not young and restless
Na ndio maana malalamiko hayaishi..
malalamiko yanakwenda upande mmoja upande mwingine hahusiki
Wewe hapo ndio mwenye jukumu la kuhakikisha mapishi yanaenda vizuri...Wewe bana kila kitu nimekuwekea na nyama ni nzuri bucha safi na sasa mapishi kwa nini ushindwe ndo maana nahamia mtaa wa tatu ambako bila hata mazagazaga nyama inapikwa vizuri mbaya