Mabroo hatutoi connection, dogo usizubae stuka!

min -me

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2022
Posts
57,987
Reaction score
166,217
Pale turiani Morogoro, kuna sehemu inaitwa dakawa karibu na mto wamii , yaani pembezoni mwa mto wami , karibu na kambi ya kiwanda cha miwa cha mtibwa (dakawa).

Kuna mchongo wako ewe kijana wa kupiga pesa .

Kuna mapori ya bure kabisa una feka kwa tani yako unapata shamba la umwagiliaji , unalima misimu mitatu bure , baada ya hapo unakodishiwa na kupewa fursa ya kununua kwa bei sawa na bure.

Ewe kijana shtuka sikubembelezi gademitt.
 
Ngoja nikimbie nijee

Kaka karibu pombe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…