Mm nashindwa elewa kwann boss kadies wako na wivu sana na subordinate wao hasa when you look good o unadress nicely.
imagine mpaka boss kaomba aamishwe kitengo kisa kashindwa vumilia subordinate wake anamzidi kwenye taste ya mavazi na anapendeza................... women women women problems in the offices but not all to the few only????????????
Inapaswa tujue twatoka ktk family tofauti pia kimauwezo kiuchumi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
The clever ones are astonished with outside being but the wise ones discover the amazing things of the inner being.
Mm nashindwa elewa kwann boss kadies wako na wivu sana na subordinate wao hasa when you look good o unadress nicely.
imagine mpaka boss kaomba aamishwe kitengo kisa kashindwa vumilia subordinate wake anamzidi kwenye taste ya mavazi na anapendeza................... women women women problems in the offices but not all to the few only????????????
Inapaswa tujue twatoka ktk family tofauti pia kimauwezo kiuchumi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
The clever ones are astonished with outside being but the wise ones discover the amazing things of the inner being.
Mbona una mambo ya kitoto kama vijana wa jukwaa la Elimu!Kama una bosi wa aina hiyo nina mashaka na elimu zenu wote wawili!Kama kazi mliyonayo inashindwa hata kuwavika mpaka useme mnatoka family tofauti kiuchumi!Nina mashaka makubwa na ofisi yenu huwenda ikawa moja ya zile ofisi zinazonyonya wafanyakazi.
Kwa hiyo mnahamishana vitengo kwa ajili ya mavazi?
ila seriously saa zingine wanawake wana matatizo kweli.
wanakuonea wivu wewe vaa pendeza meremeta vaa nunua differents official ornaments nunua handags majuu badilika uvae nguo aina nyingi tofauti.
Usirudie kuvaa nguo ndani ya miezi 6 wewe uwe unavaa nguo isizidi mara 2 uwe na unagawa.
viatu uvae sio wao wanavaa nguo za mtumba.
Tena akukome kabisa na muambie akuwache wewe uvae
wanakuonea wivu wewe vaa pendeza meremeta vaa nunua differents official ornaments nunua handags majuu badilika uvae nguo aina nyingi tofauti.
Usirudie kuvaa nguo ndani ya miezi 6 wewe uwe unavaa nguo isizidi mara 2 uwe na unagawa.
viatu uvae sio wao wanavaa nguo za mtumba.
Tena akukome kabisa na muambie akuwache wewe uvae
Mm nashindwa elewa kwann boss kadies wako na wivu sana na subordinate wao hasa when you look good o unadress nicely.
imagine mpaka boss kaomba aamishwe kitengo kisa kashindwa vumilia subordinate wake anamzidi kwenye taste ya mavazi na anapendeza................... women women women problems in the offices but not all to the few only????????????
Inapaswa tujue twatoka ktk family tofauti pia kimauwezo kiuchumi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
The clever ones are astonished with outside being but the wise ones discover the amazing things of the inner being.