mabosi Wa Kihindi Ni Washenzi

mabosi Wa Kihindi Ni Washenzi

wenzenu wanatumia akili zao kuwekeza nyinyi mnatumia akili zenu kulalama. P..bavu kabisa,endeleeni kulalamika mpaka mtatoka mvi.

Pumba*u ni wewe na wahindi wenzako. Na 2015 CCM inatoka madarakani. Mtaipata habari yenu, mtarudi kwenu India bila ya kupenda.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
ukiwabana zaidi wanakimbilia udini. Walipata kiburi enzi za Mwinyi And Mkapa. Wkt wa mwalimu walikuwa waoga saaana
 
Ndo maana huko nyuma kaa walianguka bafuni.
Mhindi sio mtu
Kemchoo patia mm funguo ya gari na wee uko ofisi ya pili funguo ziko mezani alipokaa yaani wangekua na uwezo wa kukwambia pia umbebe mpaka kwwnye gari yake angesema. Filisi wote hawa warudi delhi wakale pilipili

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ni kweli inachotakiwa ni kufanya kazi sio zaidi ya masaa 8 kwa siku, kama mwajiri akizidisha ni lazima alipe masaa ya ziada.
wewe Ndio Muhindi Mwenyewe Sio?
Sina Maana Kuwa Aache Ila Ninachosema Hapa Ni Kwenda Nje Ya Mkataba Wa Kazi

Ninaingia Mda Muafaka Na Kazi Nafanya Kwa Muda Muafaka, Lakin Unalazimishwa Eti Ufanye Kazi Nje Ya Mda
Huu Ni Unyonyaji Aisee!
 
Ndo maana huko nyuma kaa walianguka bafuni.
Mhindi sio mtu
Kemchoo patia mm funguo ya gari na wee uko ofisi ya pili funguo ziko mezani alipokaa yaani wangekua na uwezo wa kukwambia pia umbebe mpaka kwwnye gari yake angesema. Filisi wote hawa warudi delhi wakale pilipili

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Kabisa mkuu
 
Pumba*u ni wewe na wahindi wenzako. Na 2015 CCM inatoka madarakani. Mtaipata habari yenu, mtarudi kwenu India bila ya kupenda.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kweli kabisa,ccm ndo inawapa kiburi hawa mbulula!ngoja tuitoe
 
Sema ni wewe ---- 2kusaidie....wahindi c o wa2..mnaweza mkapiga post moja but yeye akalipwa mara 10 yako..
We ukipata sehemu nyingine sanuka....

mimi sina hamu nao tangu wanichukulie kazi yangu wakati mtu mwenyewe alikuja toka india hajui hata kuandika alfabeti za kizungu,kajifunzia kila kitu kwangu alafu napigwa chini yeye anakomba kazi
 
mimi sina hamu nao tangu wanichukulie kazi yangu wakati mtu mwenyewe alikuja toka india hajui hata kuandika alfabeti za kizungu,kajifunzia kila kitu kwangu alafu napigwa chini yeye anakomba kazi

Duh! Pole sana mkuu!
 
Wakijua umeshawahi kufika kwao (India) hawakunyanyasi hata tone. Wanajua unafahamu shida zao, kule Gujarat,Bombay, Punjab... na watakuheshimu.
 
Mie nafanya nao ciwawazi wala nini mwanzo nilikua nawaogopa ila sasa nimekua nunda hata angenitukana kibangla me poa et we pay u lots of money bt u doing nothing me nawatukana hata kwa kiluga. Na uliza ni bei gani wanalipa ni full kuibiana sena shida ya ajira ndo inatupeleka huko japo wanawapenda watu wa o level coz hawana jinc wa degree wanawaogopa kidogo wanajua mguuuuuuuu pande.
 
Mie nafanya nao ciwawazi wala nini mwanzo nilikua nawaogopa ila sasa nimekua nunda hata angenitukana kibangla me poa et we pay u lots of money bt u doing nothing me nawatukana hata kwa kiluga. Na uliza ni bei gani wanalipa ni full kuibiana sena shida ya ajira ndo inatupeleka huko japo wanawapenda watu wa o level coz hawana jinc wa degree wanawaogopa kidogo wanajua mguuuuuuuu pande.


duh, kazikwelikweli
 
Kuna shule moja nilifundisha ilikuwa na watoto wakihindi wengi,mmoja akanijibu vibaya akifikiri nisawa na wale watumishi waliowazoea nyumbani.
Nilimzaba kibao hadi kawa mwekundu.Mkuu wa shule (Mkenya) kanijia juu naye nikamwambia kama kwao wamezoea angekuwa kwao asinge watetea hao wahindi ni kwasababu anabembelezea ajira ndo maana anamtetea mtoto.Walipoona sijafukuzwa walikuja wahindi hiace imejaa Mkuu akawa direct kwangu moja kwa moja.Walimu wenzamgu wabongo wakanisaidia tukawatawanya.
Nikaamua nijitoe mwenyewe kuepusha msongamano.Ila hao jamaa ni nomaa
 
Ubaguzi wa rangi unaanza kuibuliwa sasa.

Wakati si vema kumsemea mwenzako mwache mwenyewe aseme.
 
Alafu Hapohapo Kuendeshwa Kwa Maneno Juu!

M-PM Mwana Mtoka Pabaya, yeye aliwahi kumchapa makofi bosi mhindi na akapandishwa mshahara. Ukifanya kazi na wahindi lazima uwe mtata vinginevyo wanakuona wewe 'Jumaaa' hata kama una profession yako.

Au mwambie brazeri siku moja aongozane na Mch. Christopher Mtikila kwenda hapo kazini, uone kama hawakumpandisha cheo
 
Last edited by a moderator:
Ubaguzi wa rangi unaanza kuibuliwa sasa.

Wakati si vema kumsemea mwenzako mwache mwenyewe aseme.

Wewe mtoto wa getini utajulia wapi yanayowasibu Watanzania wenzako, kama unataka kuona ubaguzi wa Sadolin, nenda pale KTM uone kantini wanayokula Wabongo na wanayokula Waasia ndio utajua nani mbaguzi
 
Acheni ujinga nyinyi!

Hakuna wa kukunyanyasa ukiwa unafanya kazi kwa bidii

Kama wewe ndio mnapandishwaga cheo na wahindi.

Kwa kawaida wao huwa karibu na vibaraka kama wewe. Hivi umewahi kufika kwenye viwanda vya biskuti na sabuni along Mandela Road ukaona treatment wanayopata ndugu zetu?

Siku nitakayoasisi uasi dhidi ya hawa ma--------- hata nyie vibaraka wao sitawaacha uraiani, s...y type!
 
Kusema ukweli hii ni mara yangu ya kwanza kuposti humu jf,nimeguswa saana na hii habari ya hawa wadosi coz mimi pia nafanya nao kazi kiukweli anayebisha kwamba hawana ubaguzi basi hawajui.
 
Wahindi ni wanyanyasaji sana, hlafu wanajua udhaifu ukiangalia maafisa habari na Mahusiano wote ni wabongo ila sasa hao wanakubana kuliko mhindi mwenyewe kwa ufupi ile Wizara ya Kazi haina mtu pale wa maana yule Makongoro na boss wake hamna kitu kabisa...
 
Back
Top Bottom