wamejaaa zarau wakati kwao masikini kinoma
kuna Bro Wangu Hapa Hom Ana kadigrii Kake
Kutokana Na Uhaba Wa Ajira Akawa Amejishikiza Ktk Kampun Moja Hapa Mjini(boss Muhindi)
Yaani Wanamovertime Bila Malupulupu Yoyote, Inatakiwa Aingie Saa 2 Asubuh
Kutoka Saa 10 jion
Lakini Wao Ikifika Mda Wa Kutoka Wanampa Kazi ili Hasiweze ondoka
Naye Kulalamika Anashindwa Kwani Kasota Sana Uraiani!
Kwa Hari Hii Ni Bora Mimi Ninaezunguka Road Na Kapu La Karanga!
wabongo hampendi kufanya kazi mnapenda kuchelewa kufika kazini na kuwahi kuondoka.mkibanwa kidogotuu ugomvi! haya si unaona wanamuonea? mshauri aache kazi uuze nae karanga isiwe tabu!
Wewe kwenu matajiri kinoma sio?
dah! kichwaones punguza Munkali
kibaya zaidi sasa tz tumewakuribisha adi kwenye serikali na kuwamilikisha ardhi na majengo makubwa apa dar ni ya wahindi nawengine wanazidi kutoka hindia wanamiminika tz kwa kasi(from india to tz) 140km/hr.
na sasa wanakazana kujenga bank zao kwa speed 140km/hr(indian bank), ili iwe laisi kuifazi na kusafilisha ela kwenda kwao india.
Naomba wt tuamuke, mali zetu, taifa letu. Tusikubari kuachia taifa kwa watu wapita njia, maana wakinyonya utamu ukiisha wanatuachia maganda. Watz wake up.