Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
kuna Bro Wangu Hapa Hom Ana kadigrii Kake
Kutokana Na Uhaba Wa Ajira Akawa Amejishikiza Ktk Kampun Moja Hapa Mjini(boss Muhindi)
Yaani Wanamovertime Bila Malupulupu Yoyote, Inatakiwa Aingie Saa 2 Asubuh
Kutoka Saa 10 jion
Lakini Wao Ikifika Mda Wa Kutoka Wanampa Kazi ili Hasiweze ondoka
Naye Kulalamika Anashindwa Kwani Kasota Sana Uraiani!
Kwa Hari Hii Ni Bora Mimi Ninaezunguka Road Na Kapu La Karanga!
Kutokana Na Uhaba Wa Ajira Akawa Amejishikiza Ktk Kampun Moja Hapa Mjini(boss Muhindi)
Yaani Wanamovertime Bila Malupulupu Yoyote, Inatakiwa Aingie Saa 2 Asubuh
Kutoka Saa 10 jion
Lakini Wao Ikifika Mda Wa Kutoka Wanampa Kazi ili Hasiweze ondoka
Naye Kulalamika Anashindwa Kwani Kasota Sana Uraiani!
Kwa Hari Hii Ni Bora Mimi Ninaezunguka Road Na Kapu La Karanga!