Maboresho ya Tunduma

Maboresho ya Tunduma

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Tunduma ni border kubwa kwa Tanzania hili halina ubishi ila changamoto kubwa ya Tunduma iko-disorganized sana ni chaos hii hali haitakiwi kuendelea hata kidogo

Yafuatayo ni maboresho ya Tunduma ntayafanya nikiwa Rais wa Tanzania
  1. Barabara kuanzia vwawa mpaka tunduma zitajengwa Lane 8 (mbili za malori kwenda na mbili za magari ya kawaida kwenda, na mbili za malori kurudi na mbili za mabus ya kawaida
  2. Mji utapimwa kisasa
  3. Maji kwa matumizi ya binadamu yatakuwa ya uhakika na masafi tufahamu tunduma inachangamoto ya kipindupindu
  4. Kwenye custom kutakuwa na mageti 20 kwa mda mmoja yatakuwa yanahudumia magari ili kupunguza mda wa magari kusubiria kwenye foleni
  5. Mji utakuwa na zoning unavurugu sana
  6. Kutajengwa ukuta wa km 50 (km 25 upande wa kaskazini na km 25 upañde wa kusini) ili kudhibiti biashara za magendo ambazo zinaipotezea serikali mapato
  7. Kwenye maeneo ya mji kutapigwa paving ili kusiwe na kero ya vumbi ambayo ni moja ya changamoto kubwa ya Tunduma
Naamini haya mabadiliko yatakuwa na tija na faida kwa nchi

 
Tunduma ni border kubwa kwa Tanzania hili halina ubishi ila changamoto kubwa ya Tunduma iko-disorganized sana ni chaos hii hali haitakiwi kuendelea hata kidogo

Yafuatayo ni maboresho ya Tunduma ntayafanya nikiwa Rais wa Tanzania
  1. Barabara kuanzia vwawa mpaka tunduma zitajengwa Lane 8 (mbili za malori kwenda na mbili za magari ya kawaida kwenda, na mbili za malori kurudi na mbili za mabus ya kawaida
  2. Mji utapimwa kisasa
  3. Maji kwa matumizi ya binadamu yatakuwa ya uhakika na masafi tufahamu tunduma inachangamoto ya kipindupindu
  4. Kwenye custom kutakuwa na mageti 20 kwa mda mmoja yatakuwa yanahudumia magari ili kupunguza mda wa magari kusubiria kwenye foleni
  5. Mji utakuwa na zoning unavurugu sana
  6. Kutajengwa ukuta wa km 50 ili kudhibiti biashara za magendo ambazo zinaipotezea serikali mapato
  7. Kwenye maeneo ya mji kutapigwa paving ili kusiwe na kero ya vumbi ambayo ni moja ya changamoto kubwa ya Tunduma
Naamini haya mabadiliko yatakuwa na tija na faida kwa nchi
"man has to have some few dreams even if they never become real"
Quotation from Victor Canning
 
Sijawahi kufika huko lakini ukiangalia ni mawazo mazuri, hasa upande wa barabara. Barabara za Bongo nyingi ni nyembamba sana
 
Katika border ya kisenge inayosababisha tajiri na dereva wagombane kisa mafuta ni Tunduma!Ile foleni pale na ule usengerema wa custom pale aaah!!!!
 
Kwenye custom kutakuwa na mageti 20 kwa mda mmoja yatakuwa yanahudumia magari ili kupunguza mda wa magari kusubiria kwenye foleni
 
Back
Top Bottom