Maboresho ya JF - 2019

Halafu kuna zile post ambazo unakuta umechangia lakini baada ya muda unakuta imeamishwa na mods kwenye jukwaa lingine ambalo mimi sio member, uki click link inakwambia need valid post id, nilikua napendekeza kwanini yasiwekwe maelezo yenye kuelekeza mahala ambako post imeamishiwa ili tuweze kuifatilia

Sent using unknown device
 
Dili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa mkuu walivyobadilisha walikera sana nilijikuta nimeshikwa na hasira sio ya dunia hii
 
Hii inarudishika tu, hata dakika hii 😊
 
Poa injinia. Tumeisoma hiyoo. Ila pia tangu mtoe vile vi emoj vya zamani, matumizi ya emojia mpya yamepungua sanaaa. Ni kama vile watu wamevisusa hivi vi emoji vipya. So ni bora m-bumbe vi emoji vingine au mrudishe vile vya zamani!
Emoji ruksa kutumia zilizo kwenye simu yako.

Tunaomba kitabu chenye orodha ya maadili ya kitanzania ili tuweze kukitumia kama mwongozo.
 
Hongereni sana. Mungu aendelee kuwapa afya njema JF idumu milele maboresho mema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…