Wadau kama kawaida yetu tunapashana habari kila zinapotokea, na hii ndo inaifanya JF kua sehemu ya kupata habari.
Hivi sasa askari polisi visiwani hapa wamevamia mhadhara wa Uamsho na kufyatua mabomu mengi ya machozi.
Wafuasi wa Uamsho walikua wamekusanyika tokea mchana na alaasiri ilikua ni wakati wa mhadhara. Lakini ghafla wazee wamevamia.