Mabomu yarindima Mjini Zanzibar

Mabomu yarindima Mjini Zanzibar

Mwaka huu nao Cuf Zanzibar chini ya Maalim wamezuia goli la mkono kwa kudaka mkono safi sana
 
AFP ilikuwa ya kwanza kutangaza matokeo ya Nigeria.
Japo sote ni Waafrika weusi, alisikika 'incumbent' Jonathan akimpongeza mpinzani Buhari kwa ushindi, hatujajifunza kitu kweli!??
GEJ ni moja ya marais wachache Afrika walio na hofu ya Mungu.
 
Polisi watapiga mwisho wataishiwa risasi, sasa hapo ndipo inapokuja amriii, "attaaaaaaack". Wataingia mitini
 
ICC wapo huko wanakusanya ushahidi.

Polisi watajikuta wapo katikati.
 
Wala sio sifa kutumia mabomu kwenye maswala kama haya. Hivi Tanzania ni nchi ya amani kweli?
 
Tutawatandika mpaka watakubali. Hilo ni koloni la ccm bana
 
Back
Top Bottom