Kila siku Maalim amekuwa akipokwa tonge mdomoni, this time kaamua hakubali!.
P.
Bora wafe wachache ila Mbwa asituongoze kamwe
AFP ilikuwa ya kwanza kutangaza matokeo ya Nigeria.
Japo sote ni Waafrika weusi, alisikika 'incumbent' Jonathan akimpongeza mpinzani Buhari kwa ushindi, hatujajifunza kitu kweli!??
Kila siku Maalim amekuwa akipokwa tonge mdomoni, this time kaamua hakubali!.
P.
Bora wafe wachache ila Mbwa asituongoze kamwe
Kuhubiri demokrasi na kukubali matokeo ya demokrasi ni mambo mawili tofauti. watawala wakishaonja huwa hawataki kukaa pembeni. Naiona Zanzibar ikichafuka kuliko wakati wowote ule.