Mabomu yarindima Mjini Zanzibar

Mabomu yarindima Mjini Zanzibar

ndio hivo hata lowasa afanye hivo hivo huku bara asiwangoje NEC
#TanzaniaDecides2015
attachment.php
 

Attachments

  • el.jpg
    el.jpg
    8.3 KB · Views: 418
Hivi matokeo yakibandikwa vituoni baadaye yanapigwa factor na tume ndiyo kisha yanatangazwa?
 
mungu kashawamulika wote na nahisi ukiweza kuona hali za wengi ssa hivi wanatembea na mashine za kupima bp. mungu mulika kila mwizi
 
UKAWA tunakwenda kuchukua bara na visiwani.

Bado kidogo huku bara pia tutatangaza!
 
mtanzania hajafanya fujo hajakataa amri ya askari wala hajaulizwa chochote, lakini wanapiga tu kwa vile wameambiwa na wanajua hawafanywi kitu, wakiona wananchi wamewajua watahamishwa tu kituo anaendelea na kazi na watu washapoteza maisha, ila midomo yote inayonena kuumiza wananchi mungu atawaadhibu
 
AFP ilikuwa ya kwanza kutangaza matokeo ya Nigeria.
Japo sote ni Waafrika weusi, alisikika 'incumbent' Jonathan akimpongeza mpinzani Buhari kwa ushindi, hatujajifunza kitu kweli!??

Hatutumii sheria za boko haram
 
Kila siku Maalim amekuwa akipokwa tonge mdomoni, this time kaamua hakubali!.
P.

tatizo maalim alikuwa anakimbilia ughaibuni anayachungulia matokeo kwenye kioo mwaka uhuu kaona akomae mwenyewe wasimletee maskhara......
 
NEC ndiyo hawana maamuzi sahihi ya kutagaza matokeo ya uchaguzi hadi wasubiri mpaka watu waghadhabike ndiyo wafanye kazi zao!
 
Khaa!! Laana ziwaendee wale wote watakao sababisha umwagaji wowote damu kwa maslahi ya matumbo yao. Mungu ibariki Tanzania
 
Kuhubiri demokrasi na kukubali matokeo ya demokrasi ni mambo mawili tofauti. watawala wakishaonja huwa hawataki kukaa pembeni. Naiona Zanzibar ikichafuka kuliko wakati wowote ule.

Mzee Moyo aliwaambia CUF wameshika mpini,Maalim akamalizia kuwa mwaka huu siwatulizi,

Nadhan ndio utekelezaji unaendelea
 
Hongereni wazenj kwa kukaribia kujikomboa toka kwa mkoloni mweusi ccm.
 
Back
Top Bottom