CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 687
Ni kweli
Mabomu yamelipuka Shinyanga eneo la Kizumbi ktk kambi ya Jeshi JWTZ.
Lakin yamelipuliwa kwa makusudi wakati wa mazoezi ya kijeshi, na hayajaleta madhara yoyote kwa wananchi.
Mabomu hayo yalilipuliwa kwa makusudi baada ya utaratibu wa kawaida wa kuyatumia wakati wa mazoezi kushindwa kuyalipua
Source: Taarifa ya Habari ya saa saba leo Uhuru FM
Mabomu yamelipuka Shinyanga eneo la Kizumbi ktk kambi ya Jeshi JWTZ.
Lakin yamelipuliwa kwa makusudi wakati wa mazoezi ya kijeshi, na hayajaleta madhara yoyote kwa wananchi.
Mabomu hayo yalilipuliwa kwa makusudi baada ya utaratibu wa kawaida wa kuyatumia wakati wa mazoezi kushindwa kuyalipua
Source: Taarifa ya Habari ya saa saba leo Uhuru FM