Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Mkuu wa Mkoa Bw Mwambungu alipata kuwa meneja wa bendi ya Vijana Jazz......kumpa ukuu wa mkoa ni dhihaka kubwa wakati wako wengi wenye uwezo wa kuwa ma RC.....Hapa yuko kushoto kwa mwenye shati jeupe......juu ya hayo madole gumba
Umejibu kila kitu sawa Ndiyo CCM kama usivyoijua