Mabomu na wategaji wake, je usalama wa taifa huwa wapi?

Mabomu na wategaji wake, je usalama wa taifa huwa wapi?

ni vigezo gani vilitumika kumteua Mkurugenzi wa Usalama wa taifa na IGP??

mkuu wa kaya mbona hataki kuwaondoa hawa watu??

wenye akili tumeishagundua kuna kamtandao, kanakoratibiwa na mkuu ili nchi iingie kwenye machafuko,

nadhani ni kwa manufaa ya mabeberu na vibaraka wao ili waje wachote rasilimali kiulaini,

mchafuko yakianza mkulu atapewa hifadhi katika mojawapo ya nchi za ughaibuni??

je atakimbia na ndugu zake na ukoo wake wote?? tusubiri time will tell

Hapo pekundu; hawa huchaguliwa kwa ubunifu mkubwa wa kudhibiti wapinzani pia kufuatilia habari za wabaya wa mkuu.

Penye ubluu; Hapa inataka tu ukaribu na mkuu wa kaya, nasikia wameoa sehemu moja!

Nadhani maswali yako mengine yanajibiwa na hayo hapo juu!
 
ROHO MTAKATIFU YUPO...TUMWITE AINGILIE KATI.
ROHO MTAKATIFU ANAONA HATA YALIYOSIRINI...

TUNAMWITA ROHO MTAKATIFU ILI AWAANGAZE NA KUWAFICHUA WOTE WALIOPO NYUMA YA MPANGO HUU
KAMA VILE YUDA ISKARIOTI ALIVYOUMBULIWA KUWA NDIYE ATAKAYEMSALITI YESU...TUNAMWOMBA ROHO MTAKATIFU AWAUMBUE WOTE/AWAFICHUE WOTE AMBAO WAMEHUSIKA KATIKA JAMBO HILI NA YULE ALIYELIRUSHA AU KULITEGA BOMU HILI.
"HAKUNA LISILOWEZEKANA KWA MUNGU"
KAMA UNAAMINI KUWA 'MUNGU ALIYE HAI, MUNGU ALIYEKUWAPO, ALIYEPO, NA ATAKAYEKUWAPO, MUNGU WA KWELI AMBAYE JINA LAKE NI JEHOVA; MUNGU AMBAYE NI MWANZO NA MWISHO...YEYE HASHINDWI. Ninaamini Mungu wangu ni mwema sana na anaona yaliyo hata kwenye uvungu wa mioyo yetu.
MUNGU MFICHUE MTU HUYO...WAFICHUE WATU HAO...WAPAGAWISHE NA KUWAFANYA WAPAYUKE HADHARANI KUWA WAMEFANYA WALIYOFANYA;KAMA YUDA ALIVYOCHOVYA AU ALIVYOTIA MKONO WAKE KIKOMBENI.
 
hakuna kitu kama 'usalama wa taifa' kama twiga wazima waliondoka na dege la jeshi kuna jipya hapo???
kazi yao ni kung'oa kucha na kufatilia wanasiasa wa upinzani basi...yani ni kama mabata yanayofata mama yao kuvuka barabara:angry::angry:

we should never rely on this $%@!#$%^*(

tujilinde basi
 
hawa maaskofu nao wanausika kwa yote haya yanayotokea hawana pa kutokea waache kurukaruka. Kwani walishatoa kauri tata leo ndo tunaona matunda. Au mnajifanya mmsahau .rais gani mwenye mambo ya k...ke. Sisi ndo tulomweka madarakani tukiamua nchi hii aitawaliki. Kauli hizo na nyingine nyingi zimetolewa na haohao. Leo mnashangaa nini ?
wewe kwanza inaelekea elimu kidogo chenga. Kauli za maaskofu mbona siyo tata? unataka kuleta maneno ya vijiweni. yani wewe ni wale mliokuwa brainwashed(tafuta dictionary maana najua huelewi) hamuelewi chochote kazi kuchukia tu ukristu..kutwa kuchukia maaskofu kutwa kanisa kanisa...mnadhani ukristu ndio adui wa maendeleo yenu..la hasha..mi najua kiini cha matatizo yenu...UJINGA. na ulianzia arabuni kwa muasisi wenu aliyejaribu kuiga dini fulani na kuweka ya kwake. nyie ndio matunda yake..popote mlipo majanga tu.
 
Kama Mungu wetu aishivyo ndivyo atakavyowahesabia hatia waliohusika.
 
Je coverage wanayopewa makamanda wetu baada ya kushindwa kuzuia matukio kama wanavyodai kuwa na uwezo huo ni sawa.
Je turidhishwe na matambo yao kwamba waliohusika na tukio watawatia mbaroni iwapo hawakuweza kuwabaini kabla ya kufanya uharibifu?
Je si inawezekana mwisho wa siku wakatuwekea mtu au kikundi cha watu kwamba ndio wahusika hata kama haina ukweli!
Ulinzi jilinde mwenyewe hatuna polisi kwa ajili ya raia tanzania.
 
usalama wa taifa ushugulike na wananchi ya kazi gani, unashughulika na ccm, na kufukuzia madili ya fedha kwa ajiri ya familia zao
 
Hakuna mtu mbaya duniani kama gaidi, marekani na utaalamu wao wote lakini bado mabomu yanapigwa kwao, Gaidi ni mtu ambaye mara nyingi unaishi nae na kumuamini sana si rahisi kumuhisi
 
Hakuna usalama wa Taifa ispokuwa kuna usalama wa ccm kama uonavyo intelijensia za kina mwigulu,mtakumbuka AL bashir kule sudan alitumia JANJAWEED aliwafadhili kwa kila kitu wakati huo huo alisimama jukwaani na kujifanya anakemea kumbe alikuwa anaua wananchi wake, mtindo huo huo umeigwa Tanzania na uongozi uliopo.
 
Back
Top Bottom