Ufunguo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2012
- 330
- 231
Jamani mtasema yote mtamaliza.
Chanzo cha mambo yote ni "serikali dhaifu ya CCM". Hii inazaa udhaifu wa dola:
1. Jeshini mabomu yanalipuka hovyo na hakuna jibu
2. Watanzania wanateswa na kuuawa ovyo -usalama wa taifa wakiwa kikizo
3. Mahakama zinashindwa kutoa haki kwa kuwa watendaji wake wako mikononi mwa CCM
4. Wabunge badala ya kutetea maslahi ya watanzania wanatetea maslahi ya CCM ( matokeo yake mikataba na maamuzi mabovu kama ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo yanapitishwa)
Watanzania hatupendi kurudisha heshima yetu kwa njia ya machafuko lakini ukiangalia historia ya nchi nyingi duniani utaona ilifika mahali wakasema potelea mbali mimi nife kwa faida ya wanangu na ama wajukuu zangu.
Nchi ilishakufa long time( since 2005). Haya ndo matokeo yake. Huu ndio ukweli. We need complete reform.
Chanzo cha mambo yote ni "serikali dhaifu ya CCM". Hii inazaa udhaifu wa dola:
1. Jeshini mabomu yanalipuka hovyo na hakuna jibu
2. Watanzania wanateswa na kuuawa ovyo -usalama wa taifa wakiwa kikizo
3. Mahakama zinashindwa kutoa haki kwa kuwa watendaji wake wako mikononi mwa CCM
4. Wabunge badala ya kutetea maslahi ya watanzania wanatetea maslahi ya CCM ( matokeo yake mikataba na maamuzi mabovu kama ya ujenzi wa bandari ya bagamoyo yanapitishwa)
Watanzania hatupendi kurudisha heshima yetu kwa njia ya machafuko lakini ukiangalia historia ya nchi nyingi duniani utaona ilifika mahali wakasema potelea mbali mimi nife kwa faida ya wanangu na ama wajukuu zangu.
Nchi ilishakufa long time( since 2005). Haya ndo matokeo yake. Huu ndio ukweli. We need complete reform.