kanga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,025
- 494
Manyerere Jackton sifahamu hasa kiwango chako cha elimu lakini sehemu kubwa unadhalilisha hata wenyeji wa Musoma na hasa Butiama.Kweli kwa akili yako unawaza akili ukiwa umekufa au umelala?.Kenya kwa hatua za maendeleo wanatuzidi sana na hawana haja ya kuona wivu kwetu.Taarifa tu ya leo Kenya wanajenga njia za Reli 26 ndani ya Nairobi hadi JKIA kurahisisha miundo mbinu kwa KSH10 BILION.Je Tanzania ina nini cha Kujivunia?, kama siyo uvivu wa kufikiri kama wewe na ufisadi?.Ndugu Yangu MAnyerere ndio maana mie nilikwisha kataa kusoma gazeti lenu la Jamhuri maana mpo shallow minded,myotic na zero mind.Hebu unapopata nafasi ya kutoka ndani ya Tanzania jaribu kuwa inquisitive kuona nchi zingine zimepigaje hatu.Au pengine ndiyo njia ya kutaka kumpamba LOWASA na kashfa ya kuamuru molani kumshambulia Nassari.Kwa hatua zote hizo kwa jambo ili LOWASA amejipaka tope tena katika uso wa wastaarabu na kuzidi kuwa mbali na kikome cha urais 2015.Rudi darsani Manyerere Jackton upate angalau weledi wa kuchambua mambo.