Mabloo Twitter kuna madem wakali

Magari ya kukodisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
412
Reaction score
696
Mabloo wote wa jf

Huu ni uchunguzi mdogo nilioufanya kule Twitter

1. Madem wanaotumia Twitter wengi ni wenye elim ya kueleweka

2. Madem wazur wengi wapo Twitter

3. Madem wakishua wengi wako Twitter

4. Madem wajanja na walioruka ruka ng'ambo wako twitter

5. Madem wengi hawafanyi kazi serikalini wengi wao ni kwenye ngo's na taasis za kimataifa

6. Madem wa Twitter wanafuatilia sana ligi za ulaya na mpira kwa ujumla

7. Madem wa Twitter wachache sana ambao ni single mother

8. Madem wa Twitter sio wa kuwapeleka Lodge za 15000

9. Madem waliopo Twitter wengi wanafanya kazi za ofisin wameajiriwa sio zile za kuuza maduka au kuuza shughuli za ujasiriamali

10. Kama uwezo wako ni mdogo Twitter hutaiweza kuitumia

11. Kudate na mdada ambaye ni meneja tawi flani ofisi flan ni kawaida

12. Wanatumia iPhone na Samsung

Mabloo msikurupuke mkija Twitter

Save a brother
 
Twitter ukitweet tu pale chini inaandika unatumia simu gani Sasa hapo huwez kumpata dem anaetumia I phone wakat we unatumia tecno kwanza ukimtongoza tu kabla hajakujibu anakuangalia aina ya simu unayo tumia alaf anakuthaminisha

Sent using Gun Trigger
 
Haahahaha bloo umezidisha chumvi
 
mkuu usipagawe sana nyingine ni parody mle

wako jamaa walitengeneza parody la demu mkali baadae yule dem ikasemekana kafa

na watu wakachanga pesa za rambirambi wakapiga pesa, wajinga ndo waliwao, masanja mkandamizaji anajua muulize

usiingie kichwa kichwa mkuu waweza kuona account ya demu mkali kumbe mwanaume
 
niwekee chance dogo.nakuja chap kwa haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccc mpambazi bhana na mangi wa Kichaga ndio walipanga hiyo plan harafu Dr isack akaja kuwachoresha hadharani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ila kuna maparody yaliyo jipanga balaha Mimi nimejiunga tangu 2016 lakini imekuja kubadilika kutoka kuwa serious status na kuwa funny theard hivi karibuni
 
Ndiyo huyo? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • IMG_20200325_095555.jpg
    52.4 KB · Views: 10
Sasa unataka tufanyaje bloo ? ila ahsante kwa kutupa taarifa na endelea kutupa updates mbalimbali za mademu wa huko .
 
Hili unalosema hata WhatsApp lipo
 
kuna watu washenzi aisee walilia kwa uchungu wakapost hadi gari ya msiba sina hamuπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…