Nanii yake pia ni ndefu....Huo urefu una matumizi gani nao?
Nanii yake pia ni ndefu....Huo urefu una matumizi gani nao?
Absolutely sureTupo wachache na kutumiliki inabidi ujipange haswa

Pole sana ila wenye kuchagua sana, wengi wao huangukia kwenye makoroma.
Kama hupati mrefu ata ukipata andunje sawa tu ili mradi umpende kutoka moyoni.
Eeh, ht ujirembe vepee si tuna angalia WO WO WOOOAhahahaha si tunataka WO WO WO

umeshakula yale matunda niliokuandalia kuwekea pale kwenye Friji...acha zabibu..ule mchanganyiko wa parachichi,ndizi na embe...?ili ukimaliza kesho nikuwekee juice ya karoti. hii ndo kazi kuu ya mwanamme.Abee
Mmmmhumeshakula yale matunda niliokuandalia kuwekea pale kwenye Friji...acha zabibu..ule mchanganyiko wa parachichi,ndizi na embe...?ili ukimaliza kesho nikuwekee juice ya karoti. hii ndo kazi kuu ya mwanamme.
Naweza pata nafasi kwakoAbsolutely sure![]()
OOhMmmmmMmmmh
Karibu,ila uwe mrefu piaNaweza pata nafasi kwako

Mmhh! Bado maana mie 5.11 bado najiona kianduje..Hahaaa. Walaaaa. Nina 5.4