Mabinti/wasichana warefu ni adimu saana

Mabinti/wasichana warefu ni adimu saana

Nimemuona mmoja leo pale airport dsm (JNIA)...! daah mpk nikatamani ingawa mie kiadunje..
 
mkuu wapo mwanza wengi tuu,wale wasukuma n warefu,weupe wana macho meupe
 
pesa ipo mkuu? maana mm urefu huu naonaga tu unanichoresha msingi hapa mjini ni pesa tu
 
Dah we tafta mwenye mdomo mdogo, lips nene na chura kwa mbali ukafurahie huduma. Hayo maswala ya urefu sijui ufupi hayana mashiko siku hizi.
 
Back
Top Bottom