makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,459
- 108,552
Ndipo nilipo mkuuZinasoma kigoma mpakani na Burundi huko
Ndipo nilipo mkuuZinasoma kigoma mpakani na Burundi huko
Yaani muhimu kufika tuuuu😂😂Kumbe vyote unapenda 😹😹
Muhimu kujojoa ma pretty no mara waah 😹
Anayepanda ndege na SGR wote wamesafiri buana..!!
Miaka 15+ ni muda mfupi?Madhara hayaonekani kwa muda mfupi
Ndo bei zakeHmm hakina shot kweli hiki?
Mimi nilijua ni kuanzia 150k huko!Ndo bei zake
Eeeh lazima upigwe.. maana ni kitu haram kwa TZ😂😂Mimi nilijua ni kuanzia 150k huko!
150,000Hivi ni shingapi wanauza? 🤔
It's was Mlimani city na Mabeyo Hall Dodoma, zote nilikuwepoHadi wewe? Halafu kama vile nilikuona pale mbezi garden kwenye kitchen party gala.
HahahahahaaaIt's was Mlimani city na Mabeyo Hall Dodoma, zote nilikuwepo
Sina pingamizi na research yako kwakuwa sijafanya hiyo research but to me naenda kwa ajili ya connection kwa ajili ya biashara zanguHahahahahaaa
Asilimia 70 ya wanawake wanaoenda huko wana hayo madude, 10% wanasagana, 10% wana-vibenten, 10% waliobaki ndo wanaingia kwenye huo ufeminist hawajui wajimalizie kwenye group gani