Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,092
- 136,654
attention jf, shkaaaaaaamoooooooo nyani ngabu.
Marhabaaa ahlaan wa sahlaan.
Ukoje kumtima leo?
attention jf, shkaaaaaaamoooooooo nyani ngabu.
Marhabaaa ahlaan wa sahlaan.
Ukoje kumtima leo?
niko poa sana, hofu kwako nkuonae kwa kiibodi
Una hamu na koni leo?
nna mafua mwenzio. leo nataka vitu vya moto moto. utanipa?
mkuu hayo mafuta yanapatikana wapi?
Wataka vya motomoto na rojorojo? motomoto na shantashanta? au motomoto mdando na mnato?
ewaaaaaaa, swadkta yakhee. nataka mdando na mnato
umeona eeeh? wengine sura zetu za kizee, bila make ups hata smile halinogi. lol
make up.. make up... hasa hasa kwa mabinti, nakubali vitu hivi vina umuhimu wake, na vina mvuto kwa wakaka au mmeo... Lakini ngoja ntoe angalizo si kila make up ina mfanya mdada awe mzuri au wakuvutia. Kwanza tambua ni kwanini uanatumia make up fulani,
kupenda sana kutumia make up sometimes ni dalili za kujitambua wewe ni mbaya au unakasoro katika appearance yako. samahani lakini...
Kama wewe una color nzuri mkorogo wa nin, au maenjo face ya nini ..? Hata ukijipaka mafuta ya kura shining color tutaiona tu...
Mara unyoe nyusi uweke kope kama chelewa lip stick kama kasuku :smile-big: , sometimes watu wakikuangalia sio kwamba wanavutiwa nawe bali unawatisha tu..
mkijichunguza vizuri sometimes unakila dalili za kuzeeka mapema ... Jitunzeni ambinti sio kila make inatuvutia
Ntie na chumvi au shukari?
na hao wanaochukiza hawajajua kujipangilia tu
vyovyote utavyoamua kunipa. na chumvi itakuwa tamu?
mh hata wewe Heaven on earth...
Chumvi na shukari kwa pamoja ndo tamu.
Niweke na kitwitwi cha kuokwa kwa pembeni?
halafu vitwitwi vyangu ikawaje sasa? naomba uweke vya kutosha. tobaaa udenda umentoka
Ngoja nikimbie kwa Bi. Kipusa nkanunue mafuta ya koroboi
hivi na huko kwenu kuna koroboi?