Mabinti wa make-up mh yani...

Mabinti wa make-up mh yani...

sangwine

Senior Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
144
Reaction score
45
make up.. make up... hasa hasa kwa mabinti, nakubali vitu hivi vina umuhimu wake, na vina mvuto kwa wakaka au mmeo... Lakini ngoja ntoe angalizo si kila make up ina mfanya mdada awe mzuri au wakuvutia. Kwanza tambua ni kwanini uanatumia make up fulani,
kupenda sana kutumia make up sometimes ni dalili za kujitambua wewe ni mbaya au unakasoro katika appearance yako. samahani lakini...
Kama wewe una color nzuri mkorogo wa nin, au maenjo face ya nini ..? Hata ukijipaka mafuta ya kura shining color tutaiona tu...
Mara unyoe nyusi uweke kope kama chelewa lip stick kama kasuku :smile-big: , sometimes watu wakikuangalia sio kwamba wanavutiwa nawe bali unawatisha tu..
mkijichunguza vizuri sometimes unakila dalili za kuzeeka mapema ... Jitunzeni ambinti sio kila make inatuvutia
 
Beauty+of+the+Day.jpg
 
make up.. make up... hasa hasa kwa mabinti, nakubali vitu hivi vina umuhimu wake, na vina mvuto kwa wakaka au mmeo... Lakini ngoja ntoe angalizo si kila make up ina mfanya mdada awe mzuri au wakuvutia. Kwanza tambua ni kwanini uanatumia make up fulani,
kupenda sana kutumia make up sometimes ni dalili za kujitambua wewe ni mbaya au unakasoro katika appearance yako. samahani lakini...
Kama wewe una color nzuri mkorogo wa nin, au maenjo face ya nini ..? Hata ukijipaka mafuta ya kura shining color tutaiona tu...
Mara unyoe nyusi uweke kope kama chelewa lip stick kama kasuku :smile-big: , sometimes watu wakikuangalia sio kwamba wanavutiwa nawe bali unawatisha tu..
mkijichunguza vizuri sometimes unakila dalili za kuzeeka mapema ... Jitunzeni ambinti sio kila make inatuvutia


mkuu hayo mafuta yanapatikana wapi?
 
Laiti kila mtu angejikubali kama alivyo, kwani unafikiri wengine wanajua ata kwa nini wanapaka wanayopaka? au hata wengine wanajua kwa nini wanavaa wanavyovaa? pengine kwa sababu flani kapaka na naona kapendeza basi naye anapaka, mwingine umnamkuta amevaa nguo unajiuliza maswali mia mia???? ona wengine wanaondoa nyusi then wanapaka apo wanja mweusi kwa design ya nyusi wapi na wapi?????

Tuliowaiga wengi wao hawanyoi, ila wanapunguza kwa mbali sana zile zilizo pembeni pembeni? lakini sisi tumeiga hadi tumepitiliza tunanyoa zote. etc etc.

Kama hujikubali kama ulivyo, nani atakukubali? Tujifunze kujiappreciate wenyewe na wengine watatuapreciate.



make up.. make up... hasa hasa kwa mabinti, nakubali vitu hivi vina umuhimu wake, na vina mvuto kwa wakaka au mmeo... Lakini ngoja ntoe angalizo si kila make up ina mfanya mdada awe mzuri au wakuvutia. Kwanza tambua ni kwanini uanatumia make up fulani,
kupenda sana kutumia make up sometimes ni dalili za kujitambua wewe ni mbaya au unakasoro katika appearance yako. samahani lakini...
Kama wewe una color nzuri mkorogo wa nin, au maenjo face ya nini ..? Hata ukijipaka mafuta ya kura shining color tutaiona tu...
Mara unyoe nyusi uweke kope kama chelewa lip stick kama kasuku :smile-big: , sometimes watu wakikuangalia sio kwamba wanavutiwa nawe bali unawatisha tu..
mkijichunguza vizuri sometimes unakila dalili za kuzeeka mapema ... Jitunzeni ambinti sio kila make inatuvutia
 
Mpaka hapo ashakuwa NOTICED.

Wengine wanapaka na kuweka makorokoro ya kila aina (nyusi, kope,lens) ili waongeze nafasi ya wao kuwa NOTICED. Ili na yeye aonekane katikati ya watu kwahiyo anaenda 'EXTRA MILE" kukamata attention ya wale watakaomzunguka kwa siku na wakati huo.

Pamoja na kwamba NATURALÉ ndio mpango mzima inabidi nyie wakaka mjitume kuwaaminisha wale wadada mlio karibu nao ili wajiamini. Wengi wanajiharibu kwaajili yenu nyie maana mtaimba sana mkorogo sio, kope sio, wowo la mchina sio, hili na lile hatufagilii wakati aina ya wanawake mnaopapatikia wana hayo mnayokataa. Kataeni hayo mambo kwa maneno na vitendo alafu muwasifie wadada wanaojitahidi kuwa natural muone kama baadhi ya wanaolekea kwenye kujiongezea urembo wa kichina hawatobadili mawazo.
 
==>> Hadi kwenye mashine.. kubwa na ndogo zote...zimepigwa make-up utakimbia.... utafikiri mtu ana magamba ka kenge....mmmmhh....!!!
 
make up ni mpangilio wa utumiaji mbona wengine wanajua how to make it na wanatoka saana so dont group them all!
 
Back
Top Bottom