Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
funga macho tu,by the time namalizana nae utakuwa umepofuka ukitu-watch,you have been warned!
Si kosa lako, kosa nilikuacha ukalelewa kwa wajomba zako........una m-warn babuyo?
funga macho tu,by the time namalizana nae utakuwa umepofuka ukitu-watch,you have been warned!
Kwa hiyo unataka kumwambia Dsyklsexxlisia wangu kuwa weye uko salama? Stuka mjukuuz
He!
Si kosa lako, kosa nilikuacha ukalelewa kwa wajomba zako........una m-warn babuyo?
Babu yuko juu ya katiba......shhhhhhh usimwambie MFALME WA AMANI!Katiba inasema usikitaje hadharani bila sababu......:A S 13:
Huyu mjukuu alilelewa na mjombake....namtafutia dawa yake nimsokomezee mdomonikumbe babu kiboko yako ni mjukuu tu?!! Daaah
Mdogo mdogo hommie.......Kudadeki......leo....
masela mmeivuruga topic
:hug::hug::hug:
nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:
Kwa hiyo unataka kumwambia Dsyklsexxlisia wangu kuwa weye uko salama? Stuka mjukuuz!
He!
nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:
welcome back!:wink2:
:coffee::coffee: koku naomba mwongozo apo...
nimemsoma,ana trick za kizamani,anataka aje apewe kavu,eti kila baada ya miezi minne,vipi kama yuko kwa window period,havionekani?:A S 13:
alikuwaga wapi...
Nitaweka na vilainisho kidogo, ikiwa kavu sana moto utawaka
Afadhali awe kwenye window period.........akiwa kwenye door period si ndo itakuwa balaa?
masela mmeivuruga topic
Afadhali awe kwenye window period.........akiwa kwenye door period si ndo itakuwa balaa?