KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
....mkuu umeona mlegesho huo wa Kanga?....ama kweli huu ni wakati wa Kampeni na wagombea ni Mungu na Shetani!!!!kila ijumaa na jumamosi ilikua lazima niende Kwanjeka kwenye Baikoko
Kupitia Usagara mabangi...kila ijumaa na jumamosi ilikua lazima niende Kwanjeka kwenye Baikoko
....mkuu umeona mlegesho huo wa Kanga?....ama kweli huu ni wakati wa Kampeni na wagombea ni Mungu na Shetani!!!!
Kupitia Usagara mabangi...
Mkuu Usagara Mabangi ya leo sio ile ya enzi zetu ukijichanganya umewapa masela mtaji, gongo nje nje. Sasa hivi mijengo ya maana imeota kama uyoga mzee, ukianzia na yale maghorofa ya Bandari opposite na Usagara Sekondari (Enzi za Head of School-Mr. Mrema) yaliyojengwa mwanzoni mwa miaka ya tisini ambayo yalileta mwamko.Mkuu hivi bado ipo usagara mabangi ?
Mkuu umenikumbusha Sahare enzi hizo kulikuwa bado mapori, jinsi wapemba walivyokuwa wabishi wa kujenga vyoo na badala yake wakichimba dawa porini na kutuachia miche ya mipera.
Pale karibu na uwanja wa mpira alikuwepo babu mmoja mtaalam wa mihogo jina limenipita kidogo, kweli tanga kunani
Kupitia Usagara mabangi...