s.crony
JF-Expert Member
- Jul 25, 2012
- 1,286
- 465
Sio lengu langu. Hata hivyo binadamu hawaaminiki Kamwe. Yupo Dada mmoja hapa ofisini kwetu anatoka na country manager na kila mmoja ana familia yake. Kazi kwako mkuu s.crony
dah....yaani unzidi kuninyong'osha moyo....!ngoja nianze kufanya tafiti....hawa viumbe hawaaminiki unaweza ukampa kila kitu bado akatoka na mesenja.....ni sheeedah!