Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Huku kazini nilipo vijana wa kiume wanatumika sana mpaka huruma,kumbe mkuu pande hizo ni akina dada pekee?Hahahaaaaa.... Wako wengi sana. Dada zetu nao mmmh... Wanatumikaje?!!!
Huku kazini nilipo vijana wa kiume wanatumika sana mpaka huruma,kumbe mkuu pande hizo ni akina dada pekee?Hahahaaaaa.... Wako wengi sana. Dada zetu nao mmmh... Wanatumikaje?!!!
Kwanini isijadiliwe wakati ndo habari ya mjini, Inamana wanaojadili hicho kitu humu wake kwa waume wameliwa 0713??????
Hahahaaaa.... Inawezekana. Who knows...
Kwa taarifa yako Mabinti ndio kikwazo ktk kutumia Kondom, usipotumia unaoneka mjanja kweli, watabisha tu ila ukweli wao nao waoWanachapika mnooo.... Wao wanaona ni kama mtindo wa maisha ya sasa. Sijui km kinga wanakumbuka au ndio kujilegeza mazima na hatima yao wanamwachia Mungu.
Details gani unataka??Details plz....
sidhani kama hili tatizo liko kwa kiasi kikubwa sana,labda useme kujuana ndio naona hilo tatizo lipo,na kama mwajiri ni mwanamke inakuwaje?
Details gani unataka??
Wewe nia yako si ni kudhalilisha wanawake wote walopata kaz kua wamegawa...sidhan kama hili tatizo ni kubwa kama unavolikuza ila unataka usikie rahaaa kwa kulikuza.Pande za huku akina kaka ndo wanatoa rushwa ya ngono imagine office nzima...usiulize umejuaje na nimefanyaje utafiti unless otherwise ujibu ww kwanza
Mwajiri mwanamke anataka pesa au vyote (sometimes)
1. ila waajiri kama hao wanatakiwa kuchezewa michezo ya kuwakamatisha wajulikane tabia zao na jamii nzima.
2. wakati mwingine na sisi watafuta kazi ni wakulaumiwa,unakuta mtu hana vigezo vinavyohitajika anaamua kutafuta short cut what do you expect?lazima they will take that advantage of you.
Noooooooooooooooo, Ngono 75%, kujuana 15% na Udini na Ukabila 10%
Aiseee ngono 75% basi kweli tatizo ni kubwa sana,kwahiyo mwajiri wa aina hiyo anakuwa ametembea na wanawake wote wa kampuni hiyo including wake za watu?
Walimu wanapotaka kupangiwa kituo kilichopo mjini na kukwepa kutupwa porini huwa wanajeruhiwa pia
Inatokea but not always. Rushwa ya ngono imekuwepo toka enzi na enzi, so its not a new thing. Tusi genaralize mambo. Wengi wao wanaoliwa wanatafuta kazi wakiwa wameshika chupi mkononi. Namaanisha wanataka wao kutoa rushwa ya ngono. The same applies kwa wanafunzi wa vyuo. Unamwambia lecture please im ready for anything ilimradi ni pass somo hili. What do you expect, ukikataa matakwa yake anaanza kutangaza eti ulikuwa una mtaka akakunyima ndo umemfelisha.
kuna kipindi zilitoka nafasi za kwenda kusoma ofisini kwetu, nafasi 2, ila kada tofauti. Kwa kida ninayoiongoza kuna possible three candidates. Wawili wanawake na mmoja mwanaume, nafasi moja. Nilishangaa these ladies kila mmoja alitaka anishawishi kwa K ili nimpe nafasi, ingawa siyo direct lakini mtu mzima unajua pale binti anapokuwa anataka kukutega. So nilichofanya, nilimuoomba boss wangu akubali tuombe chuo kimoja wapo wawafanyie usahili wa mtihani ili kuondoa maneno. Mwanaume alifaulu akaenda zake.so in most cases wanawake wenyewe ndo wanakuwa wanataka kutumia advantage za papuchi zao kufanikiwa kwenye lile wanalolitaka.