babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,941
- 20,231
wana chit choo,naomba kwanza munikaribishe ingawa si mgeni kwa jukwaa.kuna kitu huwa nashangaa sana.mara nyingi nnapokutana na mabinti hawa toka hilo bara letu la hukoo mbali(Africa) au hata hapo bongo.ingawa bongo kidogo wana displin hasa wakiona umetupia vitu vya kijanja si mchina. mara nyingi hawa mabinti huku ubatani wanajiona wamefika sana halafu ukiwatizama wamekomaa,wachafu,wanatoa harufu ya jasho hawajui kuoga wala kupiga mswaki wakati huku maji moto ni bure.
kazi inakuja pale unapoingia mahali kwenye fiesta fulani hivi,watakutizama juu chini kisha wananyonga midomo yao inayotoa harufu kukunyali km vile we kitoko tu.we unawachora tu maana unajua kiboko yao anakuja.
sheshe linakuja pale mwandani wako anapotimba mahali pale.kapiga vyombo vya uhakika,anawaka ng`arin`gari halafu ukute mchumba mwenyewe mtamuuu,figa 8,ukija nyuma ana kamzigo fulani kama kanadondoka.face ndo daaaah,yaani ni balaaa.halafu huyo mtu wako akifika mahali pale bila haya wala aibu anafika anakutwanga na mabusu kama milioni hivi na mnatafunana kidogo(kula denda)bila aibu.baada ya hapo binti anakuletea kinywaji na kuanzia hapo inakua ni full service.
hapo sasa utaona wale mabinti visoronkwinyo wanavyoanza kukuvizia
kwanza wataanza na huyo mtu wako kujipendekeza kujifanya na wao wametoka na wewe Africa,baada ya hapo itakua ni mastoro na wanakua karibu na wako kuliko wewe.
badae wanakuingia nawewe vilevile tena sio kistaarabu kwa vitisho huku wakidai ukunikataa namwambia mchuchu wako kwamba umenitongoza.
nnachowaonea huruma mara nyingi ni kwamba mshika dau sasa hivi nayy ni mgumu na kashawajulia hawa nyangàu hivyo anakaba mpaka nyuma ya nyavu.
swali nawauliza mabinti huwa mnashida gani haswa mpaka kufikia kufanya hivyo??anyway najua sie huwa tunawapenda tu kihivyo hivyo maana tunajua kwamba wote tumetokea kuleeee kwenye kula ugali na uji ama ubuyu na chai.
inabidi mbadilike vinginevyo tutasitisha hata salamu mpaka hapo baadaye sana:amen:
kazi inakuja pale unapoingia mahali kwenye fiesta fulani hivi,watakutizama juu chini kisha wananyonga midomo yao inayotoa harufu kukunyali km vile we kitoko tu.we unawachora tu maana unajua kiboko yao anakuja.
sheshe linakuja pale mwandani wako anapotimba mahali pale.kapiga vyombo vya uhakika,anawaka ng`arin`gari halafu ukute mchumba mwenyewe mtamuuu,figa 8,ukija nyuma ana kamzigo fulani kama kanadondoka.face ndo daaaah,yaani ni balaaa.halafu huyo mtu wako akifika mahali pale bila haya wala aibu anafika anakutwanga na mabusu kama milioni hivi na mnatafunana kidogo(kula denda)bila aibu.baada ya hapo binti anakuletea kinywaji na kuanzia hapo inakua ni full service.
hapo sasa utaona wale mabinti visoronkwinyo wanavyoanza kukuvizia
kwanza wataanza na huyo mtu wako kujipendekeza kujifanya na wao wametoka na wewe Africa,baada ya hapo itakua ni mastoro na wanakua karibu na wako kuliko wewe.
badae wanakuingia nawewe vilevile tena sio kistaarabu kwa vitisho huku wakidai ukunikataa namwambia mchuchu wako kwamba umenitongoza.
nnachowaonea huruma mara nyingi ni kwamba mshika dau sasa hivi nayy ni mgumu na kashawajulia hawa nyangàu hivyo anakaba mpaka nyuma ya nyavu.
swali nawauliza mabinti huwa mnashida gani haswa mpaka kufikia kufanya hivyo??anyway najua sie huwa tunawapenda tu kihivyo hivyo maana tunajua kwamba wote tumetokea kuleeee kwenye kula ugali na uji ama ubuyu na chai.
inabidi mbadilike vinginevyo tutasitisha hata salamu mpaka hapo baadaye sana:amen: