Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Jaman kabla zitto hajatuambia nan alyetuambia..nyote wanafk tu,nyote mnamuogopa zto face to face..mkubal zto watanzania wamkubal,na natangaza waz#yeriko nakuchukia bas tu
Kunichukia mimi ni kama ugonjwa unaouendekeza bila kuutibu,
Tiba yangu ni kumwambia zitto na wengine waache siasa za kinafiki,
Nje ya siasa sina tatizo kabisa na Zitto, tena ni mshikaji wangu wa kweli,
Tatizo ni siasa zake tu,