Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,724
Salaam!
Ni ushauri tu,
Kama tunataka mahusiano yetu yaanze vema 2017, tafadhali kwa siye ambao hatujaingia kwenye ndoa tusianze mwaka na kufanya ngono yaani tuiache tar 1/1ipite ndo tulianzishe.
Nasema ivo coz kwa maono yangu naona ni kama laana vile. Kama inawezekana jamani siku iyo tuenjoy na vitu vingine tu, tusifungue mwaka kizinaa.
Nawasilisha.
Ni ushauri tu,
Kama tunataka mahusiano yetu yaanze vema 2017, tafadhali kwa siye ambao hatujaingia kwenye ndoa tusianze mwaka na kufanya ngono yaani tuiache tar 1/1ipite ndo tulianzishe.
Nasema ivo coz kwa maono yangu naona ni kama laana vile. Kama inawezekana jamani siku iyo tuenjoy na vitu vingine tu, tusifungue mwaka kizinaa.
Nawasilisha.